Jumamosi Mei 23: Watu 31 zaidi wapatwa na coronavirus

Watu 31 zaidi wamepatwa na virusi vya corona chini ya saa 24 na kufikisha idadi ya watu walioathirika kufika 1192. Taarifa hiyo ilitolewa na Rais Uhuru Kenyatta Jumamosi, Mei 23 wakati wa kuhutubia taifa katika Ikulu.

Watu 31 zaidi wamepatwa na virusi vya corona chini ya saa 24 na kufikisha idadi ya watu walioathirika kufika 1192.

Taarifa hiyo ilitolewa na Rais Uhuru Kenyatta Jumamosi, Mei 23 wakati wa kuhutubia taifa katika Ikulu.

Habari Nyingine: Rais Uhuru amtetea Ruto, ataka asazwe na wimbi la mabadiliko

Rais alisema ugonjwa huo wa covid-19 umeathiri pakubwa uchumi wa Kenya lakini serikali inajikakamua kuhakikisha hali inadhibitiwa.

Alisema serikali inatoa KSh 25M kila wiki kwenye uchumi kwa kutumia familia kadhaa msaada kutumia teknolojia.

Mengi kufuata ....

Chanzo: TUKO.co.ke

ncG1vNJzZmijmajEorTIpaBnrKWgvG%2BvzmeinmdjaoV3g5Rmoa6lkaK8tLWMppyiZWJoerit065kbGldr66qsMhmrpqokanEonnNmmScp6Kku6LCyKusrGaYqbqt

 Share!